| JUMAPILI – 28/09/2025 | ||
| 10:00 Jioni | Wajumbe Kuwasili & Usajili | Elizabeth Katuma |
| JUMATATU – 29/09/2025 | ||
| 1:30 – 2:00 Asb | Wajumbe Kuwasili Ukumbini | Wote |
| 2:00-2:30 Asb | Saa ya Sala & Nyimbo | Eng. Eliamini Mgonja |
| 2:30-4:00 Asb | Ibada ya Asubuhi | |
| Ukaribisho wa Jumla Wimbo NZK Ombi Utambulisho Wimbo wa Kwaya Hubiri & Ombi | Pr. Switta E Stevens | |
| Eng. Eliamini Mgonja | ||
| Pr. Marco Barnabas | ||
| Pr. Onesmo Daniel | ||
| Kwaya Alikwa | ||
| Pr. Dr. David Mpwani | ||
| 4:00-4:15 Asb | Mapumziko | Wote |
| 4:15-4:45 Asb | Utangulizi wa Shughuli za Kikao (Preliminaries to Business Session) | |
| Kauli ya Kukidhi Matakwa ya Katiba | Pr. Onesmo Daniel | |
| Maelekezo ya Taratibu za Vikao | Pr. Enock Sando | |
| Kufungua Mkutano Rasmi | Pr. Onesmo Daniel | |
| Kupokea Makanisa Mapya | ||
| Kuketisha Wajumbe | ||
| Kauli ya Utume | ||
| Ratiba ya Mkutano | ||
| Kamati za Huduma | ||
| Wimbo wa Kwaya | Eng. Eliamini Mgonja | |
| 4:45 Asb – 7:00 Mchn | Shughuli za Kikao (Business Session) | |
| Katiba na Sheria Ndogo Ndogo | Pr. Onesmo Daniel | |
| Wasilisho la Mwenyekiti wa SNC | Pr. Beatus Mlozi | |
| Taarifa ya Katibu Mkuu wa SNC | Pr. Onesmo Daniel | |
| Taarifa ya Mhazini wa SNC | Eld. Mwita Machage | |
| Kuunda Kamati ya Uchaguzi | Pr. Dr. David Mpwani | |
| 7:00-8:00 Mchn | Chakula cha Mchana | Pr. Marco F Mlingwa |
| 8:00-11:30 Jioni | Shughuli za Kikao (Business Session) | |
| Taarifa za Wakurugenzi | Wakurugenzi SNC | |
| Taarifa ya Kamati ya Uchaguzi | Pr. Dr. David Mpwani | |
| Ombi Maalum | Pr. Dr. David Mpwani | |
| 11:30-12:00 Jioni | Hitimisho | |
| Neno la Shukrani | Mhazini SNC | |
| Matangazo | Katibu SNC | |
| Kufunga Mkutano na Ombi la Mwisho | Mwenyekiti SNC | |